Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya kuandikisha wapiga kura siku ya kwanza ya uboreshaji wa Daftari Mkoa wa Dar es Salaam

17 Mar, 2025
09:00:00 - 10:00:00
Dar es Salaam
INEC

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya kuandikisha wapiga kura katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni siku ya kwanza ya uboreshaji wa Daftari Mkoa wa Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya kuandikisha wapiga kura siku ya kwanza ya uboreshaji wa Daftari Mkoa wa Dar es Salaam