Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mkutano wa wadau Mkoa wa Iringa

15 Dec, 2024
04:00:00 - 16:00:00
Iringa
INEC

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mkutano wa wadau Iringa  leo Desemba 15, 2024 ambapo ametangaza ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kweye mkoa huo ambao utafanyika kwa siku saba

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mkutano wa wadau Mkoa wa Iringa