Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mjumbe wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari, amefungua kikao cha Waangalizi wa Uchaguzi waliopata kibali cha kuangalia Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025

17 Oct, 2025
11:00:00 - 02:00:00
Dodoma
INEC

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari, amefungua kikao cha Waangalizi wa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025 wa kutoa maelekezo, taarifa muhimu na miongozo kuhusu namna ya kutekeleza majukumu yao

Mjumbe wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari, amefungua kikao cha Waangalizi wa Uchaguzi waliopata kibali cha kuangalia Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025