Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC Ndg. Kailima Ramadhani ameongoza ubandikaji fomu za uteuzi za wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kupitia ACT- Wazalendo
13 Sep, 2025
04:00:00 - 10:02:00
Dar Es Salaam
INEC
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC Ndg. Kailima Ramadhani ameongoza zoezi la kubandika fomu za uteuzi za mgombea wa kiti cha Rais Mhe. Luhaga Mpina na Makamu wa Rais Mhe. Fatma Ferej kupitia ACT- Wazalendo
