Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndugu. Kailima Ramadhani amefungua kikao kazi cha Tume na taasisi na asasi hizo kilichofanyika Mkoani Dodoma.
                                
                                    
                                                                            08 Sep, 2025
                                                                    
                            
                        
                                
                                    
                                    10:00:00 - 10:30:00
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    Dodoma
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    INEC
                                
                            
                        Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 08 Septemba, 2025 amefungua kikao kazi cha Tume na taasisi na asasi hizo kilichofanyika Mkoani Dodoma.
                            
