Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele amefungua mafunzo kwa watendaji wa uboreshaji wa Dafatri kwa Magereza ya Tanzania Bara

22 Jun, 2025
10:00:00 - 00:00:00
Dodoma
INEC

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jacobs Mwambegele amefungua mafunzo kwa watendaji wa uboreshaji wa Dafatri la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Magereza ya Tanzania Bara yaliyofanyika Mkoani Dodoma leo tarehe 22 Juni, 2025.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele amefungua mafunzo kwa watendaji wa uboreshaji wa Dafatri kwa Magereza ya Tanzania Bara