Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

INEC yatoa kibali kwa taasisi na asasi tatu kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ismani na Kata 12 za Tanzania Bara

Imewekwa: 01 May, 2026
INEC yatoa kibali kwa taasisi na asasi tatu kutoa Elimu ya Mpiga Kura  katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ismani na Kata 12 za Tanzania Bara

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa kibali kutoa Elimu ya Mpiga Kura  wakati ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Katika Jimbo la Ismani na Udiwani katika Kata 12 za Tanzania Bara kwa taasisi na asasi za kiraia tatu. Soma Taarifa Kamili