Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele amekagua mwenendo wa uboreshaji wa Daftari wilayani Bagamoyo na Chalinze Mkoa wa Pwani

18 May, 2025
09:00:00 - 11:00:00
Bagamoyo
INEC

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea na kukagua mwenendo wa  uboreshaji wa Daftari na uwekaji wazi wa Daftari la Awali katika halmashauri za wilaya ya Bagamoyo na Chalinze

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele amekagua mwenendo wa  uboreshaji wa Daftari wilayani Bagamoyo na Chalinze Mkoa wa Pwani