Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Tume yamtangaza Bw. Khamis Yussuf Mussa wa CCM kuwa mshindi Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani

08 Jun, 2024
22:30:00 - 23:00:00
Kwahani, Zanzibar
NEC

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupitia Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani-Zanzibar Bi.Safia Iddi Muhammad imemtangaza Bw.Khamis Yussuf Mussa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani.

 

Tume yamtangaza Bw. Khamis Yussuf Mussa wa CCM kuwa mshindi Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani