Uboreshaji wa Daftari Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kufanyika mikoa 15 ya Tanzania Bara kuanzia tarehe 01 hadi 07 Mei, 2025
01 May, 2025
18:00:00 - 18:00:00
Dodoma
INEC
Uboreshaji wa Daftari Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kufanyika Geita, Kagera, Mara, Shinyanga, Mwanza, Simiyu, Rukwa, Tabora, Katavi, Kigoma, Iringa, Ruvuma, Mbeya, Njombe na Songwe tarehe 01 hadi 07 Mei, 2025
