Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

INEC yakubali rufaa tatu na kuwarejesha wagombea Udiwani watatu katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya Bwongera

Imewekwa: 18 May, 2026
INEC yakubali rufaa tatu na kuwarejesha wagombea Udiwani watatu katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya Bwongera

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekubali rufaa tatu na kuwarejesha wagombea Udiwani watatu katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya Bwongera. Soma Taarifa Kamili