Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Katika Jimbo la Peramiho na Udiwani Katika Kata ya Shiwinga iliyopo Mbozi DC

26 Feb, 2026
07:00:00 - 04:00:00
Peramiho na Shiwinga
INEC

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Katika Jimbo la Peramiho Halmashauri ya Wilaya ya Songea na Udiwani Katika Kata ya Shiwinga Halamashauri ya Wilaya ya Mbozi.

Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Katika Jimbo la Peramiho na Udiwani Katika Kata ya Shiwinga iliyopo Mbozi DC