Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Risala ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Siku ya Jumatano tarehe 29 Oktoba, 2025

Imewekwa: 28 Oct, 2025
Risala ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi  kuhusu Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Siku ya Jumatano tarehe 29 Oktoba, 2025

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele amesoma Risala ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Siku ya Jumatano tarehe 29 Oktoba, 2025. Soma Risala