Makamu Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Rufani (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Shiwinga, iliyopo Mbozi DC Mkoani Songwe
19 Feb, 2026
13:00:00 - 14:00:00
Songwe
INEC
Makamu Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Rufani (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk na Mjumbe wa Tume, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Abubakar wakagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Shiwinga, Mbozi DC Mkoani Songwe

