Mjumbe wa INEC, Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari akiagana na watendaji wa uchaguzi baada ya kutembelea na kukagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani wa Kata ya Shiwinga.
21 Feb, 2026
10:00:00 - 11:00:00
Songwe
INEC
Mjumbe wa INEC, Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari akiagana na watendaji wa uchaguzi ngazi ya Mkoa wa Songwe na Jimbo la Mbozi baada ya kutembelea na kukagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani wa Kata ya Shiwinga.

