Mjumbe wa INEC, Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari ametembelea na kukagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Shiwinga, Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe
21 Feb, 2026
10:00:00 - 11:00:00
Songwe
INEC
Mjumbe wa INEC, Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari ametembelea na kukagua maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Shiwinga, Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe

