Mjumbe wa INEC, Mhe. Magdalena Rwebangira ametembelea na kukagua mafunzo kwa Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, Jimbo la Peramiho Songea DC Mkoani Ruvuma
23 Feb, 2026
12:00:00 - 01:00:00
Ruvuma
INEC
Mjumbe wa INEC, Mhe. Magdalena Rwebangira ametembelea na kukagua mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura, Jimbo la Peramiho Songea DC Mkoani Ruvum.

