Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa Bi. Nuru Sovella akieleza maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele.
21 Sep, 2025
10:00:00 - 12:00:00
Mafinga Mjini
INEC
Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa Bi. Nuru Sovella akiwasilisha taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele.
