Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mwenyekiti wa INEC Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya kupigia kura kuangalia mwenendo wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ismani

01 Jun, 2026
10:00:00 - 11:00:00
Iringa
INEC

Mwenyekiti wa INEC Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele ametembelea kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya Kijiji Igingilanyi kuangalia mwenendo wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ismani, uliofanyika leo tarehe 1 Juni, 2026

Mwenyekiti wa INEC Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya kupigia kura kuangalia mwenendo wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ismani