Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs C. M. Mwambegele ametembelea na kukagua kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya Kijiji Igingilanyi iliyopo Jimbo la Ismani Mkoa wa Iringa

31 May, 2026
12:00:00 - 13:00:00
Iringa
INEC

Mwenyekiti wa INEC,  Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs C. M. Mwambegele ametembelea na kukagua vituo vya kupigia kura vya Godown la Kijiji cha Kihorogota  na Ofisi ya Kijiji Igingilanyi vilivyopo Kata ya Kihorogota, Jimbo la Ismani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Mwenyekiti wa INEC,  Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs C. M. Mwambegele ametembelea na kukagua kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya Kijiji Igingilanyi iliyopo Jimbo la Ismani Mkoa wa Iringa