Mwenyekiti wa INEC Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele amewateua Mhe. Luhaga Mpina na Mhe. Fatma Ferej kuwa wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais kupitia ACT Wazalendo.
                                
                                    
                                                                            13 Sep, 2025
                                                                    
                            
                        
                                
                                    
                                    11:00:00 - 11:30:00
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    Dar Es Salaam
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    INEC
                                
                            
                        Mwenyekiti wa INEC Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegeleamewateua Mhe. Luhaga Joelson Mpina na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej kuwa wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais
kupitia ACT Wazalendo.
                            
