Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Logo

Tume yatangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani utakaofanyika Juni 8, 2024

08 Jun, 2024
07:00:00 - 16:00:00
Kwahani, Zanzibar
INEC

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani utakaofanyika Siku ya Jumamosi tarehe 8 Juni, 2024.

Tume yatangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani utakaofanyika Juni 8, 2024