Watumishi Wanawake wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa katika uwanja wa Shule ya Msingi Mbande, Kongwa DC, Mkoani Dodoma.
08 Mar, 2026
08:00:00 - 12:00:00
Kongwa
INEC
Watumishi Wanawake wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa katika uwanja wa Shule ya Msingi Mbande, Kongwa DC, Mkoani Dodoma.

