INEC yatangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Isimani na Udiwani katika Kata 12 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 1 Juni, 2026
Imewekwa: 20 Apr, 2026
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC ) imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Isimani, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mkoa wa Iringa na Udiwani katika Kata 12 za Tanzania Bara utakaofanyika Siku ya Jumatatu ya tarehe 1 Juni, 2026. Soma Taarifa Kamili

