INEC yazialika Taasisi na Asasi za Kiraia kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Isimani na Udiwani katika Kata 12 za Tanzania Bara
Imewekwa: 20 Apr, 2026
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imezialika Taasisi na Asasi za Kiraia kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Isimani na Udiwani katika Kata 12 za Tanzania Bara

